Mwalimu Mkuu afunguka ukweli wake | walivyomkamata Mwalimu aliechapa viboko
2018-09-03 25 Dailymotion
Mwalimu Mkuu wa Shule ya msingi Kibeta ambapo mwanafunzi amepigwa na kufariki ametoa maelezo yake kwa Mkuu wa Mkoa kabla ya Kusimamishwa kazi huku akijitetea kuwa siku ya tukio alikuwa mtaani anatafuta watoro sugu